Yanga Yatambulisha CEO Mpya Andre Matine, Wazindua App Ya Mashabiki – Video

Filed in Sports, News, Updates by on September 27, 2022 1 Comment

Yanga Yatambulisha CEO Mpya Andre Matine, Wazindua App Ya Mashabiki – Video;– Here’s you will get all information about KLABU  ya Yanga, leo Septemba 27, 2022 imemtangaza Andre Matine kuwa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo kutoka klabu ya TP Mazembe ya DR Congo.

Yanga Yatambulisha CEO Mpya Andre Matine

Yanga Yatambulisha CEO Mpya Andre Matine

see also Qualified Africa FIFA world cup 2022 in Qatar | world cup qualified 2022 europe

Yanga Yatambulisha CEO Mpya Andre Matine, Wazindua App Ya Mashabiki – Video

“Niliulizwa kwa nini nimeichagua Yanga, jibu langu lilikuwa ni rahisi tu, kwa sababu Yanga ni klabu kubwa Afrika,”  amesema Andre Mtine, raia wa Zambia aliyetangazwa kuwa Mtendaji Mkuu (CEO) mpya wa Yanga.

See also Fahamu Tetesi za Usajili Yanga 2022/2023 Transfer Rumors

“Huu ni muendelezo wa ajenda yangu kubwa katika uongozi wangu ambayo ni kuimarisha klabu kiuchumi, kupitia App na tovuti hii kunafungua mlango kwa mashabiki na wapenzi wa Young Africans SC kuweza kujisajili kuwa shabiki au mwanachama rasmi,” amesema Hersi Ally Said, Rais wa Yanga.

Pia Klabu ya Yanga leo imezindua tovuti na App rasmi ya klabu hiyo ambayo itarahisishia wanachama, mashabiki na wapenzi wao kupata taarifa na maudhui mbalimbali kuhusiana na timu yao.

Jinsi Yanga Ilivyomtambulisha CEO Mpya Andre Matine

Jinsi Yanga Ilivyomtambulisha CEO Mpya Andre Matine

Jinsi Yanga Ilivyomtambulisha CEO Mpya Andre Matine

watch full video Here

Tags: , ,

Comments (1)

Trackback URL | Comments RSS Feed

Sites That Link to this Post

  1. Fahamu CV ya CEO Mpya Wa Yanga Andre Matine / Hii hapa CV yake - Idrosse | September 27, 2022

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *